MGOGORO wa Coastal Union umechukua hatua mpya baada ya kiungo wa zamani wa klabu hiyo, Mohamed Bin Slum kuhamia kwa mahasimu, African Sports, pia ya Tanga.
Inafahamika
familia ya Bin Slum ni Coastal damu, lakini baada ya mgogoro uliobuka
baina ya familia hiyo na uongozi wa sasa wa klabu hiyo chini ya
Mwenyekiti, Hemed Hilal ‘Aurora’- mpasuko umeibuka.
Bin Slum wamekuwa wakiisaidia Coastal kwa hali na mali chini ya uongozi wa Aurora, ikiwemo kusajili wachezaji na mambo mengine, lakini mwishoni mwa msimu, yakaibuka makubwa.
Bin Slum wamekuwa wakiisaidia Coastal kwa hali na mali chini ya uongozi wa Aurora, ikiwemo kusajili wachezaji na mambo mengine, lakini mwishoni mwa msimu, yakaibuka makubwa.
![]() |
Kadi ya uanachama ya Mohammed Bin Slum mbele na nyuma |